Makapuku Forum

Makapuku Forum

Wakala wa Ufundi na Umeme (TAMESA) leo umetangaza kufikia makubaliano na Kampuni ya Azam Marine kutoa huduma ya kuvusha Abiria kati ya Magogoni na Kigamboni ili Wananchi wapate huduma ya uhakika wakati huu ambao Wakala unaendelea kufanyia matengenezo vivuko vyake “Tunawashauri Wananchi wasitumie mitumbwi kwa ajili ya usalama wao” View attachment 2259912
Nauli itakuwa sh ngapi niachane na lile daraja mie
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom