Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 14,001
- 31,770
Kimbinyiko ya mtwara auNa kimbinyiko![]()
Kimbinyiko ya mtwara auNa kimbinyiko![]()
Hahaha hahahaNa wanawake huwa tunauliza maswali ambayo tuna majibu yake![]()
Asante mamy upendo ndio himaya ya uhai wetuZitafute tu baba, we love you![]()
Maswali mengi huwa yanachosha ufahamu ndio maana mwanaume kuulizwa maswali anayo hisi yanamchosha huwa hapendiMmmmh!!
Unataka kumpaUmepata mchumba?
Nimekumba wachungaji wa kipindi cha gwaji boy walivyo sema ni yakutengenezwa swali likawa wamejuaje
Nauli itakuwa sh ngapi niachane na lile daraja mieWakala wa Ufundi na Umeme (TAMESA) leo umetangaza kufikia makubaliano na Kampuni ya Azam Marine kutoa huduma ya kuvusha Abiria kati ya Magogoni na Kigamboni ili Wananchi wapate huduma ya uhakika wakati huu ambao Wakala unaendelea kufanyia matengenezo vivuko vyake “Tunawashauri Wananchi wasitumie mitumbwi kwa ajili ya usalama wao” View attachment 2259912
Msitutishe
Mi nina Furaha na hiki kifaaMsitutishe
Mimi pia jamani na salam salam zisizoisha mtu anakuja kila siku mambo shunie, kesho ukiamka unakuta habari za asubuhi jamanii bora hata usalimie kikristo habari za asubuhi kweli nasoma huku nasonya![]()









Sio mwenzetu huyo.Mamaa wa jeep
Nami kazi yangu ni kukupenda na kukuheshimu baba.Asante mamy upendo ndio himaya ya uhai wetu
Hahaha sawaZote![]()
Asante mama nitakupenda daimaNami kazi yangu ni kukupenda na kukuheshimu baba.
Duuuh sawaNdio![]()