Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,437
- 176,397
Mzoefu.






Mmmmh!!Kuulizwa maswali na mpenzi kunapunguza upendo maana mwanaume ataona anafutiliwa mno
Mniwache.Thank you auntie
Mwenyewe naonaga aunt ndiyo linatumika kote kote kwa shangazi, mama mkubwa, mama mdogo
Haha aje atusaidie kwa kweli
Unaitikia tu huku kichwani unawaza "malkia wa nyokwe".Haha hapo unakuta kawaambia hivyo wanawake ka hamsini hivi
She is not awa feloooo!Hahaa auntie kwani wewe ni mwenzetu sasa
Na wanawake huwa tunauliza maswali ambayo tuna majibu yake![]()
kabisa....
Sipendi maswali jamani!! Na vile majibu huwa hayako mbali sasa yewoooomiSiyo Mwanaume tu Mndali...
Hii ni pande zote....



Kwani kuna kingine unanijambaziaga?
Nimekujambazia nini sasa jamani?
Usiseme hela puliiiiiiz![]()
Bora umemuuliza. Mie mwenyewe kinanitoa nishai.

Yaaanikabisa....
Sasa ajichanganye tu
Na mengine unaweza usiulize ila unayajua...Wanawake sisi...




Mpambe nux.
Chawa..Aaah ile lugha imekaa kiajabu ajabu woooi!
Siwaelewagi neno hata moja... Nadhani baada ya Wamasai mnafata ninyi..
KwendraaaaaaShe is not awa feloooo!
Sipendi maswali jamani!! Na vile majibu huwa hayako mbali sasa yewoooomi![]()







.Nitataka ujue lile nataka ujue kwa wakati huo..Kwani kuna kingine unanijambaziaga?
kwamba ni hela?