Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Mahakama ya Wilaya ya Babati mkoa wa Manyara leo June 13 imemuhukumu John Simon (42) mkazi wa Dareda Babati kifungo cha miaka 20 kwenda jela kwa kosa la kukutwa na ngozi ya Chui ambayo thamani yake ni zaidi ya shilingi milioni 8.
Mshtakiwa anadaiwa kutenda kosa hilo 19/02/2021 katika Kijiji cha Mandi Babati ambapo wakili wa serikali Grace Mgaya amesema mshtakiwa huyo John Simon alimtegeshea Felisian Mobeshi (57)ngozi hiyo ya Chui kwenye mahindi na kisha kuipeleka nyumbani kwa Felisian na baadae kutoa taarifa Polisi.
Mgaya amesema baada ya uchunguzi imeonekana kuwa mshtakiwa John Simon sio mara yake ya kwanza kutegeshea wenzake nyara za Serikali na baadaye kutoa taarifa Polisi kwamba Wahusika wamekutwa na nyara hizo za Serikali kwa lengo la kijipatia kiasi cha shilingi laki moja.
Pia Wakili Mgaya amesema Mshtakiwa huyo amekuwa akitumwa na Mtu aliyefahamika kwa jina la Petro Damas kuweka mitego hiyo kwa Watu ambao amegombana nao kwa lengo la kuwakomesha na baadae kulipwa laki moja baada ya kutekeleza agizo hilo.
"Amekuwa anatumwa kwenda kutegesha mitego(nyara za Serikali) kwa Watu ambao wamekuwa na kutokuelewana na Petro Damas alafu yeye mwenyewe anapiga simu Polisi kutoa taarifa akieleza kwamba nyumba fulani kuna nyara za serikali sehemu fulani ambapo kiuhalisia nyara hizo anakuwa ametegesha yeye mwenyewe kwa tamaa ya kupata laki moja aliyoahidiwa lakini mwenzake huyo Petro Damas amekimbia kusiko julikana" Mgaya
Hukumu hiyo imetolewa leo June 13 katika Mahakama hiyo ya wilaya na hakimu Victor Kimario kwenda jela miaka 20 ila mshtakiwa anayo haki ya kukata rufaa ndani ya siku 30 kuanzia leo June 13.
Mshtakiwa anadaiwa kutenda kosa hilo 19/02/2021 katika Kijiji cha Mandi Babati ambapo wakili wa serikali Grace Mgaya amesema mshtakiwa huyo John Simon alimtegeshea Felisian Mobeshi (57)ngozi hiyo ya Chui kwenye mahindi na kisha kuipeleka nyumbani kwa Felisian na baadae kutoa taarifa Polisi.
Mgaya amesema baada ya uchunguzi imeonekana kuwa mshtakiwa John Simon sio mara yake ya kwanza kutegeshea wenzake nyara za Serikali na baadaye kutoa taarifa Polisi kwamba Wahusika wamekutwa na nyara hizo za Serikali kwa lengo la kijipatia kiasi cha shilingi laki moja.
Pia Wakili Mgaya amesema Mshtakiwa huyo amekuwa akitumwa na Mtu aliyefahamika kwa jina la Petro Damas kuweka mitego hiyo kwa Watu ambao amegombana nao kwa lengo la kuwakomesha na baadae kulipwa laki moja baada ya kutekeleza agizo hilo.
"Amekuwa anatumwa kwenda kutegesha mitego(nyara za Serikali) kwa Watu ambao wamekuwa na kutokuelewana na Petro Damas alafu yeye mwenyewe anapiga simu Polisi kutoa taarifa akieleza kwamba nyumba fulani kuna nyara za serikali sehemu fulani ambapo kiuhalisia nyara hizo anakuwa ametegesha yeye mwenyewe kwa tamaa ya kupata laki moja aliyoahidiwa lakini mwenzake huyo Petro Damas amekimbia kusiko julikana" Mgaya
Hukumu hiyo imetolewa leo June 13 katika Mahakama hiyo ya wilaya na hakimu Victor Kimario kwenda jela miaka 20 ila mshtakiwa anayo haki ya kukata rufaa ndani ya siku 30 kuanzia leo June 13.
MOSIMANE NDO BASI TENA AL AHLY
la kutaka kuondoka baada ya mafanikio aliyopata na timu hiyo. Katika kikao kilichokaa kimekubaliana kwa pande zote kuwa Mosimane ataacha kazi hiyo na wamemtakia kila la kheri.
Kelvin John ambaye alikuwa akichezea kikosi cha vijana cha KRC Genk, ametakiwa kuripoti mapema kwenye kambi ya kikosi cha kwanza cha KRC Genk kwa ajili ya maandalizi ya msimu ujao.

mtoto mlito