Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,448
- 176,418
Niachee.... Anavumilia mengi...




Sie wenyewe tunavumilia hivyo acha apambane na hali yake.
Niachee.... Anavumilia mengi...




We ukifa sina hata cha kurithi mweeeh!Sina.. Niue![]()
We uliona wapi mtu anataka kujifunza tu vitu vya ajabu from no where tu!!
Umepata mchumba?




Yaani unataka kusemaje kwamfano?
Hapana kwa kweli siwezi kuwa na mchumba wa huko
Yeah mchumba ninaye
Yaani unataka kusemaje kwamfano?
Mchumba wa nyokwe!




Kama wenu eeh?
Wanaume wenu mnawezana nao wenyewe
Ohooo shangaa usibishe
Haha wetu wastaarabu sana aseeKama wenu eeh?
Yewoooooomi!Haha wetu wastaarabu sana asee
hiiii 😳😳😒😒😒😒😬😬😬 lift gani sasa tajiri
Acha zako ujue....siyo poa...
Kesho jioni naomba lifti bhana... usikwepe ombi langu..
tajiri yupo vizuri, nacho mkubali hapendi showoffNa kimbinyiko![]()
Mimi pia jamani na salam salam zisizoisha mtu anakuja kila siku mambo shunie, kesho ukiamka unakuta habari za asubuhi jamanii bora hata usalimie kikristo habari za asubuhi kweli nasoma huku nasonyaSipendi maswali jamani!! Na vile majibu huwa hayako mbali sasa yewoooomi![]()


