Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,541
- 88,494
Hahaha kwa kweli ni kigumu ila nitapambanaKilivyo kigumu...Utakiweza?
Hahaha kwa kweli ni kigumu ila nitapambanaKilivyo kigumu...Utakiweza?
Tajiriiiiii.Kwendraaaaaa
Nimecheka mno.... na ulivyo na majibu nyau wewe... Mbona yewoomiii...
Mwenyewe sipendi maswali jamani... Na kuuliza uliza pia huwa sipendi.. sababu sipendi kuulizwa...Nitataka ujue lile nataka ujue kwa wakati huo..





Si ndio.kwamba ni hela?
Umepata mchumba?Hahaha kwa kweli ni kigumu ila nitapambana
Tajiri na konyooTajiriiiiii.

Umeanza usanii enhKikwetu hata hakipo.
Kama namuona mtoto wa mama mkwe!





Sina.. NiueSi ndio.

Hahaaa kimekaa kama kihindi asee
Bora umemuuliza. Mie mwenyewe kinanitoa nishai.
Haha hapana auntie wadanganye wasiokujuaNi mwenzenu kabisa Toto... Wanijua vyema..
Kwa kweli anatuchota tu hapaShe is not awa feloooo!
Aah hapo hata wamasai wanasubiri
Siwaelewagi neno hata moja... Nadhani baada ya Wamasai mnafata ninyi..
Ndio nini hicho?Umeanza usanii enh