Makiwendo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 10,031
- 34,667
HM, HM, HM,Mie ningekuwa jirani yako Boss dada ningenenepa mbona.. huku napo kaa hiyo Jeep yako itapita wapi maana tubboda boda haiingii huku uswazi kwetu
Nimekuita mara tatu

Kesho nipande Lile lako basi



