Makapuku Forum

Makapuku Forum

Screenshot_20220613-050422_Opera%20Mini.jpg
Screenshot_20220613-050724_Opera%20Mini.jpg
 
DEO KANDA UPDATES

- Nyota wa Mtibwa raia wa Kongo, Deo Kanda hatimae amepata leseni ya kuanza kuitumikia Mtibwa Sugar baada ya sakata la muda mrefu dhidi ya TP Mazembe

-Baada ya Mtibwa kuinasa saini ya Kanda, waliwekewa ngumu na miamba hiyo ya Lubumbashi ambao walidai wana mkataba na Kanda huku mchezaji mwenyewe akikakana

- Mgogoro huu ulifika mpaka FIFA na sakata limechukua zaidi ya miezi mitatu mpaka kupata ufumbuzi ambapo Mazembe wameshindwa kesi kutokana na kukosa vielelezo sahihi

- Kwa maana hiyo Kanda sasa ni ruksa kucheza mechi za Mtibwa, lakini pia tayari wamemalizana na Kitayose juu ya kulipa gharama ambazo nao walitoa kipindi wanaisaka saini yake

View attachment 2258925
Hawajamfaidii huyu mtu
 
Real Madrid watamuaga rasmi Marcelo ambaye alikuwa Nahodha wao mkuu, Jumatatu, Juni 13 kwenye viunga vya soka vya Real Madrid

Baada ya hafla ya kumuaga, Marcelo atapata wasaa wa kuzungumza na Mashabiki wa klabu hiyo kubwa nchini Hispania akiwa sambamba na Rais PerezView attachment 2258963
Daaaah M12 , viumbe adimu vinazidi kupukutika kwenye kabumbu
 
Hahahaaa eehh mama siku hizi mambo yao tunawaachia wenyewe

Kadiri miaka inavyozidi kuenda taratibu naanza kupoteza interest kubishana mada za namna ile

Halafu pia nimegundua kuna watu wananichukulia kauzu na mkali kumbe yani wangejua daah
Wangejua ulivyo mayai mayai mdada wangu upo soft kabisa 😄😄😄 msalimie dada tajiri Makiwendo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom