Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,246
- 90,425
mie niko poa, leo nipo guard hp makapukuTuko salama Mtu chake...
Wewe?
mie niko poa, leo nipo guard hp makapukuTuko salama Mtu chake...
Wewe?
Karibu sana Mtu chake...mie niko poa, leo nipo guard hp makapuku
karibu na ww,tulindeKaribu sana Mtu chake...
karibu na ww,tulinde
Ahsante..Mie niko salama, ila sijui hao wengineLeo nimeingia lindo,mtaa huu,mko salama


hahahahaAhsante..
hahahaha,vzr km uko salama,natumaini hata hao wengine wako salamaMie niko salama, ila sijui hao wengine![]()
Hahaha lizarazu sijui yuko dunia gani sasa hiviZamani ulikuwa unamfungashia Virago Lizarau.Siku hizi sijui yuko wapi..
Ndiyo siku hizi nimeona utofauti wako kwenye mambo mengi sana...NIMEPENDA..


Ndio ndio.Nisiingilie vya wakubwa si eti
![]()
Kwa kweli..
Mwanzo nilikuwaga mpole
Sasa hivi nimekanya waya...Mweeh!!!



Hivi unaanzaje lakiniNafuta undugu na nyie.
Nilipigwaga ban nikafungua id nyingine badala nirudi mtulivu nikaliendeleza. Si wakaziunga nikarudi kwenye ban
Ikabidi nitulie tu ban iishe.



naikumbuka ile id
Hahaha hahaha Dada umenifanya nijipige kifua Mara mbili kumbe nimekuwa kama watu wa pwani kubebisha warembo

mbebishe tu kaka
Hahaha huwa nakanyaga ila sio sana
Kwamba wewe mikoani hukanyagi kabisa