Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 45,313
- 95,667
mie niko poa, leo nipo guard hp makapukuTuko salama Mtu chake...
Wewe?
mie niko poa, leo nipo guard hp makapukuTuko salama Mtu chake...
Wewe?
Karibu sana Mtu chake...mie niko poa, leo nipo guard hp makapuku
karibu na ww,tulindeKaribu sana Mtu chake...
[emoji23]Ahsante..karibu na ww,tulinde
Si usikwende[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Basi na mimi sikwendi..
Hebu kakojoe ulale[emoji1787][emoji1787]Aisee ndiyo kusema kwamba nimepata baba mpya
Mie niko salama, ila sijui hao wengine[emoji1787][emoji1787]Leo nimeingia lindo,mtaa huu,mko salama
hahahaha[emoji23]Ahsante..
hahahaha,vzr km uko salama,natumaini hata hao wengine wako salamaMie niko salama, ila sijui hao wengine[emoji1787][emoji1787]
Hahaha lizarazu sijui yuko dunia gani sasa hiviZamani ulikuwa unamfungashia Virago Lizarau.[emoji23]Siku hizi sijui yuko wapi..
Ndiyo siku hizi nimeona utofauti wako kwenye mambo mengi sana...NIMEPENDA..
Nisiingilie vya wakubwa si etiHebu kakojoe ulale[emoji1787][emoji1787]
Ndio ndio.Nisiingilie vya wakubwa si eti
[emoji16][emoji16]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwa kweli..
Mwanzo nilikuwaga mpole
Sasa hivi nimekanya waya[emoji2]...Mweeh!!!
Hivi unaanzaje lakiniNafuta undugu na nyie.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukifa narithi magramu.
[emoji23][emoji23][emoji23] Yupi huyoAtakuwa na yule babe wake kisirani mwenzie.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wivu upi auntieWivu ni kidonda auntie[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] naikumbuka ile id[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nilipigwaga ban nikafungua id nyingine badala nirudi mtulivu nikaliendeleza. Si wakaziunga nikarudi kwenye ban[emoji134][emoji134][emoji134]
Ikabidi nitulie tu ban iishe.
[emoji1787][emoji1787] mbebishe tu kakaHahaha hahaha Dada umenifanya nijipige kifua Mara mbili kumbe nimekuwa kama watu wa pwani kubebisha warembo
Hahaha huwa nakanyaga ila sio sana[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Kwamba wewe mikoani hukanyagi kabisa