Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
“Kufunga bao siku ya fainali ilikuwa furaha kubwa sana kwangu ila nilifurahi zaidi baada ya Cristiano Ronaldo kunipa kombe nilinyanyue mbele ya mashabiki, ilikuwa furaha zaidi kwangu” Eder Lopes, mfungaji wa bao pekee la Ureno fainali ya EURO 2016
Elliot - 19
(wanawake) kutwaa ubingwa wa CECAFA, shirikisho la soka nchini humo litawapa zawadi wachezaji hao kiasi cha Million tatu za kitanzania kila mmoja kama pongezi
na pale ni jirani tu na Ujerumani, wanafanana kwenye style ya uchezaji, nadhani Bayern ni timu sahihi zaidi kwake kwakuwa anafahamu falsafa za soka lao hazipishani na Salzburg” Aliou Cisse, Kocha wa Senegal 