Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kuna kipindi ulikuwa na Ligi wewe... Mweh!!!

Nilikuwa nikimaliza kusoma comment yako mahali narudi kwenye ID najiuliza huyu ndiyo yule Binti yangu kweli? Ila Siku hizi nakuona umekuwa na katabia ka ku'Ignore vitu kama Mamako hapa...

Good Girl..
Hahahaaa eehh mama siku hizi mambo yao tunawaachia wenyewe

Kadiri miaka inavyozidi kuenda taratibu naanza kupoteza interest kubishana mada za namna ile

Halafu pia nimegundua kuna watu wananichukulia kauzu na mkali kumbe yani wangejua daah
 
Hahahaaa eehh mama siku hizi mambo yao tunawaachia wenyewe

Kadiri miaka inavyozidi kuenda taratibu naanza kupoteza interest kubishana mada za namna ile

Halafu pia nimegundua kuna watu wananichukulia kauzu na mkali kumbe yani wangejua daah
Zamani ulikuwa unamfungashia Virago Lizarau.Siku hizi sijui yuko wapi..

Ndiyo siku hizi nimeona utofauti wako kwenye mambo mengi sana...NIMEPENDA..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom