Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Vibaya mno karmaDuuh na wewe unapenda shombo
Vibaya mno karmaDuuh na wewe unapenda shombo
Asante we mzee na kwako piajioni njema kwa wote
Tupo salama we mzeeLeo nimeingia lindo,mtaa huu,mko salama
Tupo wote we mzeemie niko poa, leo nipo guard hp makapuku

Nimezungumza na watu wa Simba lakini pia Wakala wa Aishi Manula kuhusu mkataba mpya wa Golikipa huyo
Simba wameshampa ofa yao ila pia kuna ofa mbili nchini Afrika Kusini, kilichopo sasa ni kuzipima ofa kisha atachagua wapi asaini
Taarifa zilizopo ni kuwa uwezekano mkubwa akasalia mitaa ya Uhuru na Msimbazi
Kwa mujibu wa taarifa kutoka kwa chanzo changu cha karibu
Mchakato wa kuongeza mikataba kwa wachezaji ambao imeisha na bado wanahitajika kikosini imeenda vyema sana, baadhi wamesaini na wengine wamepewa muda wa kufanya maamuzi (Simba hawana tatizo nao)
Kuhusu sajili mpya timu bado inakimbizana na Kocha mpya ili kama itawezekana awe sehemu ya mapendekezo ya wachezaji wapya ambao timu ya Maskauti imefikisha majina mezani
Ni week na email kwa email, vikao kwa vikao na kitu cha uhakika ni kuwa wachezaji wanaowahitaji wote tayari majina yapo mezani, ikiwa pia mazungumzo yameanza kwa baadhi
Wakati wa usajili ni wakati wa vita hakuna dhambi yoyote duniani endapo utashindwa kumsajili mchezaji either kwasasabbu umeshindwa bei yake au maelewano na terms..Leo Liverpool wamewagomea Bayern siyo kwasababu hawataki Mane auzwe lakini kwasababu ya price tu na sajili nyingi duniani zinashindikana kwasababu hizi na hakuna tatizo...hata Simba wameshindwa Kwa Adebayor.
Kwetu hapa inaonekana ni jambo la ajabu,Jana nimeshangaa Simba wanakanusha kama wamepeleka ofa may be walikanusha barua ile lakini ofa walipeleka,Yanga wao wakalazimisha Hadi picha na watu ambao ni viongozi wakapost picha hizo ,lakini hakuna picha ya mkataba na Mchezaji,tujifunze kudeal na sajili hizi in professional way,je ikitokea Leo timu zote zikashindwa kumsajili Aziz ki je mtaeleza nini mashabiki wenu ambao wameanza kupanga kikosi cha msimu ujao??
ambaekwa sasa yupo huru baada ya kuachana na wababe hao, ameripotiwa kubadili gia njiani na sasa anahusishwa kuwa kwenye hatua nzuri ya mazungumzo na mabosi wa PSG ili kujiunga na timu hiyo dirisha hili.