Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,437
- 176,386
Kindali na kinyakyusa kinafanana eeh?Asante ndaga kwa lugha ya kwetu
Kindali na kinyakyusa kinafanana eeh?Asante ndaga kwa lugha ya kwetu
Halafu ile siku haijachukua mda
Ujue hadi nikawaza wameniamulia au!! Mbona za yule popoma huwa hawaziungi![]()
Kama yangu ya jana ya kumissiwa.We mtu apotelee kusikijulikana arudi akwambie kakumiss kweli? Auntie we ulisikia wapi eti jamani![]()

Yaani unapenda ile ladha ya shombo kama shombo kwenye nyama auVibaya mno karma
Hahaha mama anaupiga mwingi hadi unatoka njeHivi nacheka nini mimi




SanaKindali na kinyakyusa kinafanana eeh?
Napenda nyama nyama yaaniYaani unapenda ile ladha ya shombo kama shombo kwenye nyama au
Aahh sijakuzidi wewe kwa kuwa mayai
Mi hata sijui aliko ninyi wa utajirini ndiyo mnajuana mnakokuwa

Hujakagua cheti tuliweka tik kwenye kipengere ganNa michepuko mingapi?
Ndio tofauti ni lafudhi tu ila mengi tunafanana kama Mimi nazungumza vyote bila shidaKindali na kinyakyusa kinafanana eeh?
Mmmmmh!!!Hata sijui mimi