Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hahaha huku kwenye keyboard tunachangamsha genge tu ma mkubwa na mara nyingi huwa tuko katika utani tu kuprovoke watu ili tuone watareact vipi
Kuna kipindi ulikuwa na Ligi wewe... Mweh!!!

Nilikuwa nikimaliza kusoma comment yako mahali narudi kwenye ID najiuliza huyu ndiyo yule Binti yangu kweli? Ila Siku hizi nakuona umekuwa na katabia ka ku'Ignore vitu kama Mamako hapa...

Good Girl..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom