Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,540
- 88,486
Hahaaa you seeNimegundua kati ya hayo yote ni karma pekee ndilo nalikumbuka.
Hahaaa you seeNimegundua kati ya hayo yote ni karma pekee ndilo nalikumbuka.
Hahaha basi tuzoee tu na hili dear hamna namnaMimi mmojawapo kiukweli nimelizoea karma
Aah kuelewa sio shida zanguNaona auntie husomi na kuelewa si eti


Huh!!Alipe kwanza nilete na za yanga
Lazima ni me, wanawake hatuna hivyo viherehere



Hukawii kuja kubambikwa kesi isiyokuhusu jamaniLazima ni me, wanawake hatuna hivyo viherehere![]()
Hukawii kuja kubambikwa kesi isiyokuhusu jamani





Anaishi na matajiri wenzeao mie huku madongo kuinamaa nitapajia wapiIvo oil ya jeep yako unachukuliaga wapi





Acha hizi mambo blaza..Huyo mtu amenisema sana Auntie...Auntie nimekutetea hapo sura pana tunajaza wote

Aki tena... hebu niache hiki kiherehere nibaki hapa kwa App...ukome auntie na kiherehere chako we huoni kila siku watu wanalalamika na browser mpya
Shem squareeAki tena... hebu niache hiki kiherehere nibaki hapa kwa App...
Heshima yako mkuu wangu ! Nilikuona pale upo na wazito wenzako nikapunga mkono sijui uliona
Eti Oil ya Jeep...Acha hizi mambo blaza..
Kwa kweli Mdogo wangu....Hahaha tutafute pesa yote yanawezekanika
Yani hata siyo mambo ya kufurahisha dada
Maisha ni magumu
Platinum wewe haikufai...Na Max hawezi kukupaitabidi unilipie platinum ili nisipige id chini haraka haraka .. wa kishua hata sijui kuogelea

MITHALI 10:1-25 SUV
Mwana mwenye hekima humfurahisha babaye; Bali mwana mpumbavu ni mzigo wa mamaye. Hazina za uovu hazifaidii kitu;
Auntie Espy Atoto picha hiyo ya mama yake Ronaldo akiliaView attachment 2253810





acheni hizo dada zangu wazuri, kunifanyia fitina tena hiyo wewe tu unaimalizaPlatinum wewe haikufai...Na Max hawezi kukupa![]()