Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,547
- 88,538
Hahaaa you seeNimegundua kati ya hayo yote ni karma pekee ndilo nalikumbuka.
Hahaaa you seeNimegundua kati ya hayo yote ni karma pekee ndilo nalikumbuka.
Hahaha basi tuzoee tu na hili dear hamna namnaMimi mmojawapo kiukweli nimelizoea karma
Aah kuelewa sio shida zangu[emoji1787][emoji1787]Naona auntie husomi na kuelewa si eti
Huh!!Alipe kwanza nilete na za yanga
Lazima ni me, wanawake hatuna hivyo viherehere [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hukawii kuja kubambikwa kesi isiyokuhusu jamaniLazima ni me, wanawake hatuna hivyo viherehere [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hukawii kuja kubambikwa kesi isiyokuhusu jamani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Anaishi na matajiri wenzeao mie huku madongo kuinamaa nitapajia wapi [emoji51][emoji51][emoji51] Ivo oil ya jeep yako unachukuliaga wapi
Huyo mtu amenisema sana Auntie...Auntie nimekutetea hapo sura pana tunajaza wote
Aki tena... hebu niache hiki kiherehere nibaki hapa kwa App...[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ukome auntie na kiherehere chako we huoni kila siku watu wanalalamika na browser mpya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kikubwa uhai auntie
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nijaze mama umekuwa Heaven Sent na Saint Anne
Shem squareeAki tena... hebu niache hiki kiherehere nibaki hapa kwa App...
Heshima yako mkuu wangu ! Nilikuona pale upo na wazito wenzako nikapunga mkono sijui uliona[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Eti Oil ya Jeep...[emoji2]Acha hizi mambo blaza..
Kwa kweli Mdogo wangu....Hahaha tutafute pesa yote yanawezekanika
Yani hata siyo mambo ya kufurahisha dada
Maisha ni magumu
Platinum wewe haikufai...Na Max hawezi kukupa[emoji23][emoji3][emoji3][emoji3] itabidi unilipie platinum ili nisipige id chini haraka haraka .. wa kishua hata sijui kuogelea
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]MITHALI 10:1-25 SUV
Mwana mwenye hekima humfurahisha babaye; Bali mwana mpumbavu ni mzigo wa mamaye. Hazina za uovu hazifaidii kitu;
Auntie Espy Atoto picha hiyo ya mama yake Ronaldo akiliaView attachment 2253810
acheni hizo dada zangu wazuri, kunifanyia fitina tena hiyo wewe tu unaimalizaPlatinum wewe haikufai...Na Max hawezi kukupa[emoji23]
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Shukrani ya punda mateke bwana auntie nimekuzoea [emoji1787][emoji1787]