Makiwendo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 10,031
- 34,666
Huyo simtumii Auntie...labda Hadde..ngoja nimwambie auntie maki akuforwadie
Huyo simtumii Auntie...labda Hadde..ngoja nimwambie auntie maki akuforwadie
Hata hili linakaa poa sana...usibadili tenaHahaha tatizo karma imeshachukuliwa sasa
Hukawii kuja kubambikwa kesi isiyokuhusu jamani






Naaaaam!!!Shem squaree
Heshima yako mkuu wangu ! Nilikuona pale upo na wazito wenzako nikapunga mkono sijui uliona








Nasemaje..Platinum bora wanipe mimiacheni hizo dada zangu wazuri, kunifanyia fitina tena hiyo wewe tu unaimaliza

😄😄😄 haya dada yangu Boss acha nikuache maana hapo najua kulala alfajiri maana sijui nyie mataniri mna nini na usingizi
Wewe Kijana...acha hizi mambo basi HM....
Ujue nacheka sana...
haya dada yangu Boss acha nikuache maana hapo najua kulala alfajiri maana sijui nyie mataniri mna nini na usingizi





nalalaje ndio nimeingia shift ya usiku kwa kanjibai hapa 😬😬
Hebu lala basi....
Atakuwa obsessed nasi, na atakuwa tu mtu mmoja.
Lake mwenyewe nadhani anatumia ME yule...anajiita espy![]()
Nashukuru langu hawajaliiba...Atakuwa obsessed nasi, na atakuwa tu mtu mmoja.

Atakuwa obsessed nasi, na atakuwa tu mtu mmoja.


mtu mmoja ila auntie
Huyo simtumii Auntie...labda Hadde..



ye ana nini auntie basi piga video kolu tuongee wote
Nilivyoanza kusoma nimepata na mshituko ghafla Auntie....
Nikasema lile jambo letu limeanza taratibu nini?



auntie hizo mambo za mahubiri mbona ninazo mimi sema lile jambo letu siwezi kumdanganya Mungu wangu kabisa
Nakuelewa vizuri auntie
Sikujazi Auntie.
Auntie si umeona namna kanisema...ye ana nini auntie basi piga video kolu tuongee wote



