Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,971
Jamani leo nimesema wacha nitumie Browser
Kitu nakutana nacho huku
Najikuta nimequote comment moja zaidi ya mara kumi
Sehemu ya kufuta sioni... inabidi nirudi back naquote tena...Aloooooooh!!!
Watu wa Browser wanawezaje haya makitu![]()


ukome auntie na kiherehere chako we huoni kila siku watu wanalalamika na browser mpya



