Makapuku Forum

Makapuku Forum

Jamani leo nimesema wacha nitumie Browser
Kitu nakutana nacho huku
Najikuta nimequote comment moja zaidi ya mara kumi
Sehemu ya kufuta sioni... inabidi nirudi back naquote tena...Aloooooooh!!!
Watu wa Browser wanawezaje haya makitu
ukome auntie na kiherehere chako we huoni kila siku watu wanalalamika na browser mpya
 
Mimi Browser imenishinda kabisa....
Ila ajabu wakati najoin JF nilikuwa natumia Browser.. na nadhani haikuwa na mambo mengi kama sasa...

Ilivyokuja App tu nikahamia huku.... Browser naweza kumaliza hata miezi na miezi nisiingie...

Kweli kwenye App wametusahau sana.. Notifications tu kipengele..
Kikubwa uhai auntie
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom