Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,971
Sijui nipite kesho?Nimekumiss pia jamani
Sipo mpaka kesho kutwa kuanzia asubuhiSijui nipite kesho?
Endelea kujifariji kikuuHapo kweli kikuu lazima uone wa ajabuu....
Ila ntabakii kuwa serverwakizengua nazima kabisa


HabariUnazotaka nini eti auntie

Yani yule mtu hadi nilitamani nimfuate pm sema ndiyo hivyo maana nimegundua watu wengi wamelizoea karma utafikiri langu jamaniWametuamulia, ukiliacha jina wanalibeba.
Haha hatari sana Mkuu Lucius
Hahaha si bora hata ingekuwa kindugu ni kibabe yaaniMnagawana kindugu? Mbona mimi hamnigawii?
Yani acha tuMmh kwamba member mwingine kaibeba
Auntie acha kunikoseshea babe wangu amaniEndelea kujifariji kikuu![]()
Hivi kwani unanilipaaaa si naamua kujitolea tu mwenyewe jamaniHabari![]()
Hahaha si bora hata ingekuwa kindugu ni kibabe yaani



nimecheka kwenye kiubabeHaha naelewa mama mimi acha tu wasambaze hamna kipya maana najua hicho wanachokitafuta hata hakipohizo kugawana unafikiri zako tu mama mpaka wakina sie ila tunaona kawaida tu
Yani yule mtu hadi nilitamani nimfuate pm sema ndiyo hivyo maana nimegundua watu wengi wamelizoea karma utafikiri langu jamani





Auntie acha kunikoseshea babe wangu amani







Hahahahahahaah karmaHaha hatari sana Mkuu Lucius
Sasa si ndio uendelee kujitolea, kwanini unipangie?Hivi kwani unanilipaaaa si naamua kujitolea tu mwenyewe jamani
Ameeen. I receiveeeee 🙏🙏🙏🙏Love you more mama mchungajibe blessed
Mungu azidi tu kukuweka kwa ajili yetu sisi uzidi kutupa hekima na busara na maushauri
Pole nkamu. Kuna siku na mimi nimekutana na Ile ID nikabaki kushangaa.Yani yule mtu hadi nilitamani nimfuate pm sema ndiyo hivyo maana nimegundua watu wengi wamelizoea karma utafikiri langu jamani