Makapuku Forum

Makapuku Forum


Kwamba Starlet??? Ni sawa....
Usipajue kabisa.. ni huyo wewe...
Mimi mwenyewe nasubiri Hadde anipeleke.
Ni njia ya kwenda kwao huko
Hahaa dada inaweza kuwa njia ya kwenda kwetu ila mwenyewe huwa naishia kupaona tu paleee

Sehemu za kishua hizo asee

Halafu nilishatoka kule siku hizi niko tu huku mtaani kule huwa naenda mara moja moja tu kusalimia
 
Hahaa dada inaweza kuwa njia ya kwenda kwetu ila mwenyewe huwa naishia kupaona tu paleee

Sehemu za kishua hizo asee

Halafu nilishatoka kule siku hizi niko tu huku mtaani kule huwa naenda mara moja moja tu kusalimia
Mwenzangu na nipakishua kweli

Weeee'haya mambo siyajui.. ni kitambo kidogo..
Tuyaongee chemba kesho basi..
 
Hahaha wazee wa kukariri miandiko wengine mbona hatuwezi jamani

Basi ngoja na mimi nitulie huku kwanza maana kwa sasa sina kijiwe rasmi

Vile vijiwe vyangu vya zamani vyote siku hizi sivielewi tena nimevikacha
Welcome dota. Na anayekuficha mwambie nataka mahari.
 
Aahh yaani mimi browser sikuwahi kuielewa kabisa

Nilikuwaga naingia mara moja moja kufungua baadhi ya vitu ambavo havifunguki kwa app

Ila angalau sasa hivi naweza hata kujibu na comments na kufanya mambo mengine mengi tu
Hivi sio wewe ndio kipenzi kikuu cha browser
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom