Espy_
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 90,301
- 178,647
Angesema mwingine ningemuamini, wewe huaminiki.Taratibu aunt ujue ukimpata huyo mambo yatakuwa mazurii wanao hawatakusumbua
Angesema mwingine ningemuamini, wewe huaminiki.Taratibu aunt ujue ukimpata huyo mambo yatakuwa mazurii wanao hawatakusumbua
DuuuhMacho kama maembe![]()
Mmmmh haminiki au wewe humwaminAngesema mwingine ningemuamini, wewe huaminiki.
Kwa sabab ya kikuu auAngesema mwingine ningemuamini, wewe huaminiki.
Nimekaribia, naomba maji ya kunywa na tendw kama zipo wakatibwa kufuturu ushawadia.Tuko salama kabisa, karibu.
Salama mkuu, vipi hali kaka?Mkuu habari ya ujenzi wa taifa
Nyie ni wapole sana aiseeHivi mama mchungaji kwani sisi wachambaji jamani mbona sisi wapole sana ila unavyokuja ndio unavyopokelewa.![]()
Yaani kuna siku nilitaka nifanye muujiza huo kisa nafuatilia umbea. Yangenikuta makubwaInabidi uagize chakula maana ukisema upike unapitwa, unakuta uzi ushafutwa
Tungekuwa busy na kazi kama umbea walah tungekuwa na ghorofa sasa![]()
Tuko vizr mkuu labda hapo kwenu TanzaniaSalama mkuu, vipi hali kaka?
Huku hovyo tu.Tuko vizr mkuu labda hapo kwenu Tanzania
Embe gani mzee mwenzangu!? Dodo, tanga, bolibo au embe sindano?Macho kama maembe![]()
kwema mkuu,za jioni,karibu tupate iftar sheikh
Basi sawa.
hahahaha.karibu iftarAhsante Mtu chake...
dah,nimewaza vingine kbsEmbe gani mzee mwenzangu!? Dodo, tanga, bolibo au embe sindano?
Kwema kabisa, shukrani sana.kwema mkuu,za jioni,karibu tupate iftar sheikh
Simuamini.Mmmmh haminiki au wewe humwamin
Si ndio!! Ujue hii kesi ni kubwa sana!!!!Kwa sabab ya kikuu au
Mweeeh!! Mgeni hebu tulia kwanzaNimekaribia, naomba maji ya kunywa na tendw kama zipo wakatibwa kufuturu ushawadia.


