Espy_
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 91,824
- 183,019
Utakuwa una matatizo wewe si bure[emoji1787][emoji1787]Sawa ila mi zilinishinda mapema kabisa
Utakuwa una matatizo wewe si bure[emoji1787][emoji1787]Sawa ila mi zilinishinda mapema kabisa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kumbe kaoga!!Nitakuwa natetema huku zaidi ya Mayele, hata energy drink haitonifaa. It shall never be my portion [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Ni salama wa salmin, sijui wewe bibie.Hatujambo Makaveli...
Habari za Uzima wako?
Mkwe nitakulaani ujue[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Aunt Espy kikuu wananiuliza location ya kupokea mzigo wetu
Shunie akee ushawahi agiza kikuu[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kuhusu kikuu umenikumbusha jana ila Lee kuan kitu alikuwa anataka na hiko kitu kipo kikuu tu namwambia nikuagizie ooh hapana kama kipo kikuu yaani anahisi vitu vya kikuu vya uwongo haviendani na picha yaani nimefanya kazi kumuelekeza naona imeshindikana
Mmmmh ngoja nirud niliko kuwa porinNitakuambia chemba Auntie[emoji2][emoji2][emoji2]
Hebu subiri kwanza, unamdalalia nani?Karibu tena na kuna aunt yetu humu unaweza kuwa faraja yake [emoji4][emoji4][emoji4]
Salam kabisa mzee mwenzangu, hofu ilikiwa juu yenu tu.Mimi sina jambo kabisa mzee mwenzangu.
Habari ya weye?
Nimepewa alam hapaTumpe wa kumuweka bize
Nataka kupunguza mizigo nyumbani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe!!! Mbona unaspeed hivyo?
Sawa ngoja nipige chini niendelee kuwa mpweke tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Naogopa ku'comment Shem[emoji2]
Tangu aokoke hata jukaani haonekani.[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Hivi yuko wapi lakini?
Za mimi nzuri kabisa shunie akee.Hatujambo maka akee za wewe
Huna ujualo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wivu sina, ila najua litakalompata.
Ban inakuhusu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Nimetaka nisi'like wala ku'quote[emoji28]
Ndiyo basi tena
Niache we mama.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wewe!!!
Sawa ila msema kweli mpenzi wa MUNGUUtakuwa una matatizo wewe si bure[emoji1787][emoji1787]
Mkuu habari ya ujenzi wa taifaNi salama wa salmin, sijui wewe bibie.