Nitakuwa natetema huku zaidi ya Mayele, hata energy drink haitonifaa. It shall never be my portion![]()
Mzee baba kwa heshima na tadhimaa nikusalilimie za siku nyingiiiMakiiiiiiii shem square
Mzee baba kwa heshima na tadhimaa nikusalilimie za siku nyingiii
Ni kweli si unajua sisi wakimbizi wa kiuchumi huwa tunaingiaga huko polini kusaka njia za kutokea mji wa kitajiriMkuu heshima kwako ..siku nyingi sana umetembelea huku
Ni kweli si unajua sisi wakimbizi wa kiuchumi huwa tunaingiaga huko polini kusaka njia za kutokea mji wa kitajiri
Hivyo tunajikuta tumesahau na ndugu kabisa
Tusamehane bure kabisa



Hahaha yupi huyooo na Mimi nimerud mjini ni mpweke kweliKaribu tena na kuna aunt yetu humu unaweza kuwa faraja yake![]()
Jinga kweli hili dudu, akili zake kama ndugu yangu mmoja hivi![]()

Auntie upo kama mimi woiiii nikiwa na kitu nalia halafu nikimwadithia rafiki au ndugu napata unafuu



kuhusu kikuu umenikumbusha jana ila Lee kuan kitu alikuwa anataka na hiko kitu kipo kikuu tu namwambia nikuagizie ooh hapana kama kipo kikuu yaani anahisi vitu vya kikuu vya uwongo haviendani na picha yaani nimefanya kazi kumuelekeza naona imeshindikana





🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wewe!!! Mbona unaspeed hivyo?
Espy AtotoHahaha yupi huyooo na Mimi nimerud mjini ni mpweke kweli
Jioni la LeoMbengo zetafongokhaaaaaaa!

Kabisa...Naaam auntie hatujali wala nini mapenzi yakiisha tunamwachia Mungu tu
Ahsante Mtu chake...mmmh,nani kasema .tumeanza lini? Si kweli
Aah sasa hivi itabidi bakora zihusike. Tukiwaacha mtatuchafulia ukoo hivi hivi nawaona![]()




Akikujibu niite AuntieSafi sana auntiekwahiyo upo pande ipi jamani
