Makapuku Forum

Makapuku Forum

kuhusu kikuu umenikumbusha jana ila Lee kuan kitu alikuwa anataka na hiko kitu kipo kikuu tu namwambia nikuagizie ooh hapana kama kipo kikuu yaani anahisi vitu vya kikuu vya uwongo haviendani na picha yaani nimefanya kazi kumuelekeza naona imeshindikana

Mwenyewe kikuu kwa kweli....Basi tu.
Kitu walinifanya naogopa hata kukuonesha kwa watu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom