Makiwendo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 10,031
- 34,667
@Makiwendo hivi huku panaitwaje vile?







Sijui na mimi....Sema ulipo wewe...
@Makiwendo hivi huku panaitwaje vile?







Ndio mie sasa, mtajua hamjui.

Yaani mnaagiza then mnasubiri 4 weeks!! Sina huo uvumilivu auntie![]()





eenh unakuja kwa meli kutoka chinaHakuna simu bora hapa duniani kama tekno auntie, ila ni wivu tu wa watu kutuchafulia simu zetu![]()



Sasa je, baada ya kesi ndio utanielezea ugomvi ulihusu nini. Na kama ni suala zito naenda kulianzisha tenaaa![]()




Hivi mama mchungaji kwani sisi wachambaji jamani mbona sisi wapole sana ila unavyokuja ndio unavyopokelewa.Daaah nyie kipindi kile jamani, hutamani kuweka simu chini woiiiii
Sent using Jamii Forums mobile app

Nahisi ni huu uzee auntie sikumbuki hataUnajisahaulisha eeh!!





Auntie ebu acha uwongo hutoki kabisaBado mgeni auntie![]()
Daaah nyie kipindi kile jamani, hutamani kuweka simu chini woiiiii
Sent using Jamii Forums mobile app







Nitakuwa sijipendi kiasi gani hadi niharibu kwenu? Unichambe, uanze kunifundisha na mitaa ya Indira Gandhi weeeeee![]()



mama mchungaji usitufanyie hivi







CheiiiiiiiiThe best phone in the world![]()

Nitakuwa sijipendi kiasi gani hadi niharibu kwenu? Unichambe, uanze kunifundisha na mitaa ya Indira Gandhi weeeeee![]()






Babe hii kazi naona unaipendaKaribu tena na kuna aunt yetu humu unaweza kuwa faraja yake![]()