leo dada
JF-Expert Member
- Oct 26, 2023
- 1,886
- 8,782
Me mzima,,, Nina hakika wote tuko salamaNawasalimu wote Shunie Espy_ Seran leo dada win-one ShesRise_1 Obe makaveli10 moudgulf Vincenzo Jr dosho12
Me mzima,,, Nina hakika wote tuko salamaNawasalimu wote Shunie Espy_ Seran leo dada win-one ShesRise_1 Obe makaveli10 moudgulf Vincenzo Jr dosho12
Weekend hii ungependelea kuspend wapi?Me mzima,,, Nina hakika wote tuko salama
Ilikuaje tena shemeji😆 nilipigwa na kitu kizito sana ShesRise_1
Nitakuwa nyumbani na familia. Ukinitoa mi nani nikatae??Weekend hii ungependelea kuspend wapi?
Ungependelea wapi zaidi kwenda, pakuanzia na kumalizia.Nitakuwa nyumbani na familia. Ukinitoa mi nani nikatae??
Nichagulie mdogo wanguUngependelea wapi zaidi kwenda, pakuanzia na kumalizia.
Kwakuwa unampenda Cindy bila shaka tutaanzia saanane kisha kumalizia bonasera.Nichagulie mdogo wangu
Mi nani nikataeKwakuwa unampenda Cindy bila shaka tutaanzia saanane kisha kumalizia bonasera.
Mkuu Poker niajeNawasalimu wote Shunie Espy_ Seran leo dada win-one ShesRise_1 Obe makaveli10 moudgulf Vincenzo Jr dosho12
Idd inaendaje Obe maana ustadh moudgulf kazima cm hapatikani huenda ningeambulia hata kilo 1 ya ngamia.Eid Mubarak wanajukwaa. Yeah, sikukuu ya kuchenja, mkesha umeanza jana na leo tunamaliza. Ndiyo sikukuu pekee ambayo si Bakwata wala Chimumuna wa hapa Mtwara tunakubaliana bila kuangaliana kwa jicho la tenge.
Binafsi, sijachinja ila najua kwa aliyechinja atanikaribisha maana nyama lazima igawiwe mara tatu, kwa familia na ndugu, pili kwa marafiki na majirani na tatu kwa masikini unaowajua hawana uwezo.
Toa sadaka na tii amri za Mungu.
makaveli10 fanya urushe kuku mmoja wa kienyeji pande hizi, naelekea Mjimwema nikaoshe macho
... hahahahahaha, labda mambo ya maridhiano, mimi natumia mtandao wa shemeji zangu hapa Msumbiji, naperuzi tu.Hivi JF wameifungulia lini maana naona leo naperuziii tu