Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ankoo Obe salaam zimefika wewe kibokooooo
Ilikuwajeeeekuwajeeeee lakini

...anko nimefurahi zimefika. Ilikuwa tu kama ulivyoshauri nami nikaongeza madikodiko kidogo mambo yakakaa sawa. Kwa hiyo sasa maamuzi gani umefanya maana ulitafutwa mimi nikaona ninyamaze ili nisiharibu mipango yako miovu
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kuna mtu humu humwambii kitu kuhusu kikuuu
Hahhaha aisee
A friend of mine aliorder suti kupitia kikuu ,akawa excited kuona suti yake .. alipopokea hiyo delivery alipewa suti ya mtoto wa miaka 6 .

Kwa vifaa vingine labda wapo vizuri ila kwenye oufits hapana
 
...anko nimefurahi zimefika. Ilikuwa tu kama ulivyoshauri nami nikaongeza madikodiko kidogo mambo yakakaa sawa. Kwa hiyo sasa maamuzi gani umefanya maana ulitafutwa mimi nikaona ninyamaze ili nisiharibu mipango yako miovu
Ambacho sijapenda ni wewe kumsanua ile ishu na unajua akijua ataniganda kama kipindi kile ..na mm nmemwambia rafk yake apewe namba zako ili ngoma iwe drooo...sema yukoo vizurii
 
Back
Top Bottom