Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,493
- 176,574
Mie nitakutafuta nini tena mdaiwa wangu sugu, zaidi ya ulipe madeni yangu jamaniniache unanitafuta nini lakini

Mie nitakutafuta nini tena mdaiwa wangu sugu, zaidi ya ulipe madeni yangu jamaniniache unanitafuta nini lakini

Asante sana kwa ukaribisho wako naamini Leo tunashinda pamoja hapaWazima kabisa mndali, karibu.
@Shunie hebu ukujeMmmmh we mgeni ili nimwambie shunie dadangu ajipatie wifiii



The best phone in the worldHahaha watu na tecno zenu




Nitakuwa sijipendi kiasi gani hadi niharibu kwenu? Unichambe, uanze kunifundisha na mitaa ya Indira Gandhi weeeeeenimecheka sana mama mchungaji au kuna sehemu umeharibu eenh kuhusu sisi






Sawa tumsubiri atoe mwongozo@Shunie hebu ukuje![]()
hao wakina kalumbu ni kiboko


Mungu aendelee kututetea aisee; hiyo siku yetu mweeeehInabidi uagize chakula maana ukisema upike unapitwa, unakuta uzi ushafutwaDaaah nyie kipindi kile jamani, hutamani kuweka simu chini woiiiii
Sent using Jamii Forums mobile app






Leo nipo hapa, siendi kokote kabisaAsante sana kwa ukaribisho wako naamini Leo tunashinda pamoja hapa
KwendraaaaaDota unataka kusema umementioniwa na wachambaji?
Bora mie sikukumention![]()



Ukichambwa naleta juice kwa ndugu wasomajiNitakuwa sijipendi kiasi gani hadi niharibu kwenu? Unichambe, uanze kunifundisha na mitaa ya Indira Gandhi weeeeee
Sent using Jamii Forums mobile app



Sawa ila mi zilinishinda mapema kabisaThe best phone in the world![]()
Nitakuwa natetema huku zaidi ya Mayele, hata energy drink haitonifaa. It shall never be my portion 😁😁😁😁Ukichambwa naleta juice kwa ndugu wasomaji![]()
Ugonile kalumbuNitakuwa sijipendi kiasi gani hadi niharibu kwenu? Unichambe, uanze kunifundisha na mitaa ya Indira Gandhi weeeeee
Sent using Jamii Forums mobile app
WaoooohLeo nipo hapa, siendi kokote kabisa