Makapuku Forum

Makapuku Forum

Daaah nyie kipindi kile jamani, hutamani kuweka simu chini woiiiii

Sent using Jamii Forums mobile app
Inabidi uagize chakula maana ukisema upike unapitwa, unakuta uzi ushafutwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tungekuwa busy na kazi kama umbea walah tungekuwa na ghorofa sasa[emoji2297][emoji2297][emoji2297]
 
Back
Top Bottom