Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,492
- 176,554
Nitafanyaje sasa na ndio mtu hawezi kuchagua ukoo. Unajikita tu uko na udungu na watu wa ajabu ajqbu basi tu unavumilia huku moyoni unaumia.Hivi Una nini wewe?![]()
Nitafanyaje sasa na ndio mtu hawezi kuchagua ukoo. Unajikita tu uko na udungu na watu wa ajabu ajqbu basi tu unavumilia huku moyoni unaumia.Hivi Una nini wewe?![]()
Sasa alimaanisha mtu chake gani jamani?Khaaaa auntie jamani hajamaanisha mtu chake mtu
Kama nakuona sasa, sijui maneno yatatoka au utaishia kuliaaaa.








Swali zuri!!!hivi utaishi kwa amani kweliii
Iphone ya kikuuMimi sijui, ila wanasema Covid...
Bado unajiandaa kupikea ile Iphone yako?



Tunadanganywa hivyo...Uh!! Ndio mnavyodanganyanaga eeh?

Asikutishe huyo, achana nae. We jiandae kupokea zawadi ila sasa Dec kweli unazaliwa!!Auntie mbona unanitisha sasa
Haki alonirogea ndugu zangu aombe nisimtambue. Nikimtambua nakihamishia usoni.nahisi kuna mda tunalogwa sio akili zetu
Mimi sina jambo kabisa mzee mwenzangu.Ndugu zangu wa daaamu kabisa, hamjambo humu?!?
Nimekuta mentions zenu, nusu nitupe simu. Nikajua nasutwa leo 😁😁😁
Uzi utajumuisha kila mmoja na madhambi yake.sasa kwenye uzi sisi tunahusika vipi jamani
kuna nn tena
Mtu chake Auntie...Umesahau?
Mtoto eti, dunia ina mambo hiiniache kujiita mtoto kisa uzee hapana kwakweli


