Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,493
- 176,573
Ukiniita nikifika nacheeeka, yaani huo ndio msaada nitakaokupa
Siku hizi nakomaa kila iitwapo leo..
Kulia nimepunguza...
Vikinishinda si ninakuita...Maana ndugu yangu wewe na yake maneno yako![]()




Usijali ndugu yangu nikifika si unanijua, nanunua kesi kwanza then baadae ndio nitakuuliza kwani ugomvi unahusu nini?





