Makapuku Forum

Makapuku Forum


Siku hizi nakomaa kila iitwapo leo..
Kulia nimepunguza...

Vikinishinda si ninakuita...Maana ndugu yangu wewe na yake maneno yako
Ukiniita nikifika nacheeeka, yaani huo ndio msaada nitakaokupa

Usijali ndugu yangu nikifika si unanijua, nanunua kesi kwanza then baadae ndio nitakuuliza kwani ugomvi unahusu nini?
 
Nakosaje sasa Auntie Akeee..
Hiyo ni lazima, huna hata haja ya kuniomba...
Mimi huyu nakosaje?

Yangu keki Inifikie tu Auntie..Shughuli tutajua mbele kwa mbele..Hata kwenye chupa za kijani huko
yaani me mwenyewe sijui nitafanya woiiiiii tukifanya auntie tutakuwa pamoja maisha ndio hayahaya bwana tunaishi mara moja tu
 
Iphone ya kikuu
Mkwe popote ulipo God is watching you.
kuhusu kikuu umenikumbusha jana ila Lee kuan kitu alikuwa anataka na hiko kitu kipo kikuu tu namwambia nikuagizie ooh hapana kama kipo kikuu yaani anahisi vitu vya kikuu vya uwongo haviendani na picha yaani nimefanya kazi kumuelekeza naona imeshindikana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom