Espy_
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 90,337
- 178,792
Ukiniita nikifika nacheeeka, yaani huo ndio msaada nitakaokupa
Siku hizi nakomaa kila iitwapo leo..
Kulia nimepunguza...
Vikinishinda si ninakuita...Maana ndugu yangu wewe na yake maneno yako![]()




Usijali ndugu yangu nikifika si unanijua, nanunua kesi kwanza then baadae ndio nitakuuliza kwani ugomvi unahusu nini?





