Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 14,001
- 31,770





Yaaaani!!!na vile Melo hanaga hiyana

Wivu sina, ila najua litakalompata.Acha wivu binti.
Weweeeee!!!Kumbe si maki alimuita![]()

Bahati nzuri melo mwenyewe anapenda ubuyu, atauacha acha hadi ufikishe page elfu mbili.






Kazini kuna mtu anayo ujuejamanii me siwezi kabisa acha tu nitumie wereva yangu













Sasa mbona mimi huwa hunihadithii? Usijali sitoscreen shot![]()




wewe!!!Tulia, Italipwa hapa hapaNilipe huko![]()

nimecheka sana auntie hata ukiscreenshot sijali wala nini kuna mtu aliniambi shunie picha zako zinasambaa nikamjibu ndio vizuri cha nitrend tu kwa watu alichoka




Kwani huwa mnachamba watu? Haiwezekani dota wangu awaogope hivi!!



nacheka sana halafu nipo kwa daladala nitaonekana chizi ujue eti auntie makii unavyokuja si ndio tunavyokupokea
Hawajambo kaka yangu sijui upo ulipoNjema hawajambo hapo ulipo dada
Hakuna simu bora hapa duniani kama tekno auntie, ila ni wivu tu wa watu kutuchafulia simu zetu![]()


kweli kabisa auntie watu wanatuonea wivu na wereva zetu
Hiyo huwa sio habari tena siku hizi mbona!!


kwakweli swala la picha sio habari kabisa yaani halishtuiUkiiwasha inaandika tekino![]()





Mmmmh we mgeni ili nimwambie shunie dadangu ajipatie wifiii








hata sijui nacheka nini