Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kazini kuna mtu anayo ujue jamanii me siwezi kabisa acha tu nitumie wereva yangu

Acha tu...
Mwenyewe kuna huyo mtu siku zote najua simu yake macho 3...

Sasa siku hiyo kaenda Kitchen..sink likikuwa alipitishi maji likawa limeziba..maji yamejazana kibao.. alikuwa ananawa mikono ile amefika akaibana simu na midomo( lips) kama wengi tunavyofanya...
Ile anaanza kunawa tu simu ikadumbukia...
Kuitoa watu wakaanza kumshauri, Wengine waliokuwa wanajua ni Macho 3 halisi wanamwambia hiyo ina water proof haiwezi kuingiza maji

Ile kuivua cover sasa
Badala ya watu kumhurumia kila mtu aliangua kicheko..Mimi nilicheka hadi machozi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom