Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,487
- 176,541
Weeeh!! Nimejua sasa wanaowajaza ujinga, ndio maana hamkuiNiache auntieuzee kwako mtoto kwa babe wangu mwenzio ananibeba na uzee huu



Weeeh!! Nimejua sasa wanaowajaza ujinga, ndio maana hamkuiNiache auntieuzee kwako mtoto kwa babe wangu mwenzio ananibeba na uzee huu



Eenh mimi auntie
Ndiyo Kipenzi
Mbona viboko..Nani huyo? Ni Shunie?
Si kama chako tuKichwa kama mbegu ya ubuyu.

Auntie mbona unanitisha sasa
Unajua wewe Akili huna...
Umenikumbusha jana kwenye ule Uzi namna nilikuwa nacheka....





Ndio Shunie, nimeona nianze tu kuwatandika viboko maana mnajua kuniweza![]()




nahisi kuna mda tunalogwa sio akili zetuAlilililiiiiiiiiiiNiache auntieuzee kwako mtoto kwa babe wangu mwenzio ananibeba na uzee huu

Lipa madeni yangu tumalizane. Lasivyo nakufungulia uzi, nitaunganisha na Shunie humo humo.



sasa kwenye uzi sisi tunahusika vipi jamani
Hatujambo maka akee za weweNdugu zangu wa daaamu kabisa, hamjambo humu?!?
Ni wivu tu



Alilililiiiiiiiiii
Na mbengo zeta fongoka![]()




niache kujiita mtoto kisa uzee hapana kwakweliKwahiyo nani hayupo karibu labda?Dec 27 auntie hivi auntie makiii utakujapo kwa besidei eenh we si tupo karibu





We shindwa!! Unanijulia wapi mimiPyuuuuuuuu....
Nasemaje, Mimi nakutambua vyema sana..



Kwahiyo nani hayupo karibu labda?
Halafu unazaliwaje mwisho wa mwaka na wewe![]()



auntie kwani tupo karibu na wewe me najua ulipo mpaka tupande bus kuzaliwa mwisho wa mwaka auntie ni baraka sanaNakosaje amani sasa na mnanipa stress tu kila sikuhivi utaishi kwa amani kweliii


Hapa hakuna kulipwa, bora tu nifute undugu kwa amaniHe he he....
Hilo deni litapata Msamaria mwema hapa hapa...
Tulia![]()



Nakosaje sasa Auntie Akeee..Dec 27 auntie hivi auntie makiii utakujapo kwa besidei eenh we si tupo karibu

