Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,971
Rais wa Mpito wa Mali, Assim Goita ameshambuliwa na Wanaume wawili mmoja akiwa amebeba kisu baada ya kumaliza Ibada ya Sikukuu ya Eid Al-Adha Msikitini, Bamako.
Ikulu ya Mali imethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kusema Rais yupo salama na Watu hao walidhibitiwa na Walinzi wa Rais na kwamba uchunguzi unaendelea.
Mashuhuda wanasema wameona damu kwenye eneo la tukio lakini bado haijajulikana damu hiyo ni ya nani.
Ikulu ya Mali imethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kusema Rais yupo salama na Watu hao walidhibitiwa na Walinzi wa Rais na kwamba uchunguzi unaendelea.
Mashuhuda wanasema wameona damu kwenye eneo la tukio lakini bado haijajulikana damu hiyo ni ya nani.

