Chini juu.. juu chini 😉Ebu niambie
Eid unaila wapi ? Nimtume kijana akuletee mzigo wakoAsante we mzee jamani na kwako pia
Hahahaha sawa sawaSikukuu ya kuchinja hii, upatie au ukosee, watu tunapiga mpunga nyama.
Heri ya sikukuu wadau wa jukwaa hili, ndugu yenu nimeshaanza kulewa nikisubiri nyama choma iive
Hahhaha binamu yangu bwanaSikukuu ya kuchinja hii, upatie au ukosee, watu tunapiga mpunga nyama.
Heri ya sikukuu wadau wa jukwaa hili, ndugu yenu nimeshaanza kulewa nikisubiri nyama choma iive
Location wapi tufate nyuki?Sikukuu ya kuchinja hii, upatie au ukosee, watu tunapiga mpunga nyama.
Heri ya sikukuu wadau wa jukwaa hili, ndugu yenu nimeshaanza kulewa nikisubiri nyama choma iive
Nipo kwetu mbagala we mzee ebu fanya kumtuma basiEid unaila wapi ? Nimtume kijana akuletee mzigo wako
HahahhahaChini juu.. juu chini![]()

...location ni hapa hapa Kigamboni msikiti wa Ijumaa, njoo na ya kutolea maana mwenye mpesa ndo huyo huyo anauza mondeLocation wapi tufate nyuki?
...majirani kabisa ujue sisi, ngoja nimtafute mufti wangu makaveli10 mitaa ya Mji mwema tujisogeze zetu njiapandaNipo kwetu mbagala we mzee ebu fanya kumtuma basi