Makapuku Forum

Makapuku Forum

Screenshot_20210720-091107_Instagram%20Lite.jpg
 
trimethylamine N-oxide au TMAO ni viini ( substances ) vinavyo toka wakati mtu anameng'enya Nyama nyekundu ndani ya mwili hii substance ndio inasababisha mtu kuwa na magonjwa ya moyo, stroke n.k hivyo basi unashauriwa kula nyama kidogo mboga za majani kwa wingi ili kuepukana na haya magonjwa.

Hapo kwenye kula nyama kidogo hapo nahisi me nyama zitaniuwa
Screenshot_20210720-092058_Instagram%20Lite.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom