Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,937
Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe leo amefanya mkutano na Waandishi wa Habari Mwanza na kusema Chama hicho kinalaani Polisi kuvunja kongamano la BAVICHA kuhusu Katiba mpya juzi na kusema wameamua kama Chama kwamba wataendelea kufanya kongamano hilo wiki hii hapohapo Mwanza kwakuwa ni haki yao na kama Polisi wakitaka wamkamate yeye.
“Jumatano tuna kongamano la Katiba walete vikosi kila sehemu, baada ya Kongamano tutaanza mikutano ya hadhara Nchi nzima hatutasubiri vibali”———MBOWE
“Jumatano tuna kongamano la Katiba walete vikosi kila sehemu, baada ya Kongamano tutaanza mikutano ya hadhara Nchi nzima hatutasubiri vibali”———MBOWE
umekuwa adimu sana kiukweli namiss uwepo wako binamu usiadimike hivi

ChampionsOfTanzania
ChampionsOfTanzania
NguvuMoja
ChampionsOfTanzania
