moudgulf
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 156,142
- 770,237
Hahaahha na uzee huu naanzaje etiAseeee.
Tafadhali mtoto mlito, cheusi mangala, kibonge wa uzi huu usivunje ndoa yako kwa sababu ya Krismass na mwaka mpya.
Heri ya mwaka wewe na familia yako
Mmmh
Hapa kuna ukweli
Upigaji kwenye sekta ya elimu
Mkuu kwema kabisaKiongozi kwema.
Heri ya mwaka mzee baba
Salama ShunieHatujambo moud za wewe apo
Kwani hakuna wazee wenzako wanaokutamani?Hahaahha na uzee huu naanzaje eti
He he hata sijui labda niulize kama kuna wazee wenzangu wanaonitamaniKwani hakuna wazee wenzako wanaokutamani?
Uliza hapa hapa kisha fungua PM yako uone foleni ya vikongwe wenzakoHe he hata sijui labda niulize kama kuna wazee wenzangu wanaonitamani


Pm ipo wazi mbona moud huwa siifungi hahah eti foleni ya vikongwe wenzanguUliza hapa hapa kisha fungua PM yako uone foleni ya vikongwe wenzako![]()