Bado shunieJamani mbona mna haraka hivyo herufi zenu bado nini
Asante sana mkuuMjombaaaaaaaaaaa
Mjombaaaaaaaaaaa
Heriiii ya mwaka mpyaa ndugu yangu
Hahah hapana shunie, jua tu huu ni ujumbe mzuriHahhaha hapo mmependa pa kutokuombwa hela tu
Niko hapa shunie,weekend yako imekaaje hapo?Baba wawili uko wapi sasa
Iko poa kabisa baba wawili vipi weweNiko hapa shunie,weekend yako imekaaje hapo?
Hahahhaha hapana kuna kasehemu mmekapendaHahah hapana shunie, jua tu huu ni ujumbe mzuri
HahahahHahahhaha hapana kuna kasehemu mmekapenda
Iko poa pia, kibaridi kwa mbaliiIko poa kabisa baba wawili vipi wewe
Wenzetu mna raha ukoIko poa pia, kibaridi kwa mbalii
Pm ipo wazi mbona moud huwa siifungi hahah eti foleni ya vikongwe wenzangu






Eeenh wakuje tu
Kumbe iko wazi eeh, haya![]()
Hakika.Kama mwanaume wako ana gubu na kisirani jifanye kama hukioni