Makapuku Forum

Makapuku Forum

Namshukuru Mungu maisha yangu yananipa amani na furaha

Naishi maisha yangu siishi maisha ya mtu mwingine

Ukinikwaza nitakwambia huwa siwezi kukaa na kitu moyoni kazi ipo kwa wewe ninayekwambia ukinuna utajua hujui

Ukikaa nayo moyoni, moyo uvimbe ukufwe unatuacha wenzio tunaendelea kula raha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom