Nipo Shunie, niliona aisee, sema mwanzoni niliona kama utani, mwisho wa siku watu wakamaindina...Baba wawili uko wapi ebu njo tucheke yaliyomkuta mjomba ako kwenye selfie.Nigendako halafu unajuaga hiyo avatar naipendaga
![]()
Nipo Shunie, niliona aisee, sema mwanzoni niliona kama utani, mwisho wa siku watu wakamaindina...
Hahah ulilalamika kuhusu jina, nikaona nirudishe jina pamoja na avatar yako unayoielewa mtoto mlito



Niko namsubiri huku kwa hamu zote baba wawili yaani nitamcheka
Ya kitandan yanatoshaBasi tutakufa wengi mapema
Sakayo njoo kuna ujumbe wako huku mazoezi unafanya kila siku na unazidi kunenepa
Punguza uroho mama ufanye na diet View attachment 1662354
Sawa sawaYa kitandan yanatosha
Ehh Cuzin Wick bebe Shunie anakuita!Been good uncle
Nimekumiss pia jamani
Vipi wick jamani kapotea jf uncle sijamuona mda sana
Hahaha, inabidi akutafute mtumie wote aisee!Au huyu msukuma atakuwa ameshauza ng'ombe zake uncle sasa hivi anatumia tu na bebez
HahhahahHahaha, inabidi akutafute mtumie wote aisee!
Ha ahhaahha, anko acha tu hizi mambo. Huu mwezi unachanganya sana.
HahahaNiko namsubiri huku kwa hamu zote baba wawili yaani nitamcheka
Yaani nasoma kule nacheka kimoyomoyo alivyopanick sijawahi muona mjomba wako kupanick kama ile siku baba wawili
Halafu wote mmerudisha majina yenu lawama napata mimi wewe na vinc
Avatar naipenda sana yaani sana![]()

?maana hauchelewi kumuumba mtu wewe
Binamu umetekwa?Ha ahhaahha, anko acha tu hizi mambo. Huu mwezi unachanganya sana.
Usiku mwema wana jukwaa
Hahahah nikiona avatar yako najua tu baba wawili ni under 18Hahaha
Mjombaa ni mtalatibu sana ila unapovuka mipaka yake, hapo ndio utaiona rangi yake, hope walisameheane na yakaisha
Shunie bwana, ikiiona hiyo avatar unakuje kwani?maana hauchelewi kumuumba mtu wewe