Makapuku Forum

Makapuku Forum

Lengo la kukununia na kukusimanga na kuwa na gubu ni ili unune na wewe kuwa na kisirani kama yeye

halafu wanatupataga wajinga wajinga tunajishusha weeeh kumbe wenyewe ndio furaha yao ujinga ukituisha sasa ndio kazi inapoanza.
Wenzetu mna raha uko
Mbona hata sisi huwa tunajishusha.
Tunapenda kujishusha zaidi ila tunaogopa kuitwa mabwege
 
Ili uonyeshe uanaume wako
Ukishuka sana mwanamke haoni tofauti mliyonayo, ndiyo maana kuna wakati unatamani uende kwenye mikesha ili hata ukirudi muanzishe zogo.
Shunie elewa kwamba si kwa vile wewe unajitambua na wenzako nao wapo kama ulivyo.
Kuna wengine ili muende sawa ni lazima kitembee kibesi
 
Ukishuka sana mwanamke haoni tofauti mliyonayo, ndiyo maana kuna wakati unatamani uende kwenye mikesha ili hata ukirudi muanzishe zogo.
Shunie elewa kwamba si kwa vile wewe unajitambua na wenzako nao wapo kama ulivyo.
Kuna wengine ili muende sawa ni lazima kitembee kibesi
Nakupata moud na mwanaume lazima uwe juu siku zote
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom