Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,977
Tena karudi kwa kishindoBinamu is back
Tena karudi kwa kishindoBinamu is back
...yaani acha tu yaani ufufuo wangu sio ule wa siku ya tatu akafufuka, wangu ni ule siku ya mwisho wa mwezi akalipwa hela zake za korosho na sasa anasubiri ujio wa hela alizouza kangomba zije aanze kufaidi matunda na wote waliomkiza na kumuamini watakula mema ya nchi kwa hela zao wenyewe







KumbeKucheza mdumange usijisahaulishe hapo![]()
jirani hataki kufukua makaburi kwa binamu
Woouuzer![]()


jirani we naweHahaha utaweza kushangaa zile za dj aflo jirani



hapana shangaa mwenyewe



hakunaga ujirani wa namna hiyo,inabd kushangaa wote pia
Kiunoni bwana







Za shingoni binamu obe azifanyie nn
Shkamoo shemeji...salama sana mdau, uko vizuri najiaminisha maana asubuhi tayari. Shukrani kunijulia khali bila shikamoo
Obe,!umeamka salama bila shaka.?DuhNishapitia mengi hadi nusu nijitie kitanzi nikachoropoka
Ile kutapatapa kama mfa maji nitakorofoka

Kwako wewe sijiweziiiiiiii![]()
Nishapitia mengi hadi nusu nijipige kitanzi nikachoropoka
Acha nikwambie siri ya moyo wangu
Nifikishe mpaka juu mawinguni![]()
Babe nipe mm tu vilivyo uvunguni![]()
Ifunanya ifunanya![]()
Kama koloni sina
Japo nizikwe na ww![]()
Acha nikwambie tu siri ya moyo wangu
Hata nikificha mboni zitaniumbua
Babe na hili baridi nipo nakumbatia mito tunakumiss
Kama koroni sina hata moyoni sina
zaidi ya wewe
Chaguo lingine sina
Ndio maana nakufata nizikwe na wewe![]()
![]()
Ifunanya
Ifunanya
Ifunanya
Ifunanya
Nishapitia mengi hadi nusu nijipige kitanzi nkachoropoka
Hile kutapa tapa kama mufa maji nkakorofoka
Nikawa na chembe ya ukicha aah
Mikasa ya mapenzi inakorokocha
Simanzi kutwa kuccha sijiwezii
Basi chonde chonde iwe mwisho na usije nikatili
Hayo majeraha uniuguze uniuguze
Illa acha nikwambie tu
Hii siri ya moyo wangu
Hata nikificha mboni zitaniumbua
Acha nikuonyeshe kina
Na upana wa mapenzi yangu
Na uwe wangu wa milele niwe wako![]()
Haya mambo haya chaaaAaaannhh mwenzio ooh
Ifunanya
Kwako wee ndo sijiwezi
Ifunanya
Hata nyendo sina aah
Mbele sioni iih
Ifunanya
Nakupendaga wewe tu ifunanya![]()


Nishapitia mengi hadi nusu nijipige kitanzi nikachoropoka
Acha nikwambie siri ya moyo wangu
Nifikishe mpaka juu mawinguni![]()
Shangazi ulikula nini hapa?Babe nipe mm tu vilivyo uvunguni![]()





Hebu nitungie wimbo na wewe..Mwenyewe sielewi kabisaaa



Hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha
Mbavu zangu mimiii.... Huyo babe yuko huku ama!
Hahahaha, mashalah haswa ukizishika shika we weZiache hizo ushikwe shikwe
