Makapuku Forum

Makapuku Forum

...yaani acha tu yaani ufufuo wangu sio ule wa siku ya tatu akafufuka, wangu ni ule siku ya mwisho wa mwezi akalipwa hela zake za korosho na sasa anasubiri ujio wa hela alizouza kangomba zije aanze kufaidi matunda na wote waliomkiza na kumuamini watakula mema ya nchi kwa hela zao wenyewe
 
Talaka ya matrilioni

merlin_148940892_4791aa73-2575-4ad3-af7b-aed2e92c5ad3-jumbo.jpg
 
Kwako wewe sijiweziiiiiiii
Nishapitia mengi hadi nusu nijipige kitanzi nikachoropoka
Acha nikwambie siri ya moyo wangu
Nifikishe mpaka juu mawinguni
Babe nipe mm tu vilivyo uvunguni
Ifunanya ifunanya
Kama koloni sina
Japo nizikwe na ww
Acha nikwambie tu siri ya moyo wangu

Hata nikificha mboni zitaniumbua
Babe na hili baridi nipo nakumbatia mito tu nakumiss
utajua tu leo

Ona tunavyokuja kumpa saport ankoo wetuView attachment 1062760
Kama koroni sina hata moyoni sina
zaidi ya wewe
Chaguo lingine sina
Ndio maana nakufata nizikwe na wewe
Ifunanya
Ifunanya
Ifunanya
Ifunanya
Nishapitia mengi hadi nusu nijipige kitanzi nkachoropoka

Hile kutapa tapa kama mufa maji nkakorofoka

Nikawa na chembe ya ukicha aah
Mikasa ya mapenzi inakorokocha
Simanzi kutwa kuccha sijiwezii
Basi chonde chonde iwe mwisho na usije nikatili

Hayo majeraha uniuguze uniuguze
Illa acha nikwambie tu
Hii siri ya moyo wangu

Hata nikificha mboni zitaniumbua
Acha nikuonyeshe kina

Na upana wa mapenzi yangu
Na uwe wangu wa milele niwe wako
Aaaannhh mwenzio ooh
Ifunanya

Kwako wee ndo sijiwezi
Ifunanya

Hata nyendo sina aah
Mbele sioni iih

Ifunanya
Nakupendaga wewe tu ifunanya
Haya mambo haya chaaa


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom