Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,623
Kwema kaka ake pole na majukumuHahaha
Kwema dada ake?
Kwema kaka ake pole na majukumuHahaha
Kwema dada ake?
Babe nipe mm tu vilivyo uvunguni [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
Nifikishe mpaka juu mawinguni [emoji847][emoji847]
Acha nikwambie siri ya moyo wangu
Nishapitia mengi hadi nusu nijipige kitanzi nikachoropoka
Aah acha nitulie kusikiliza mistari , mie wewe hata ukizeeka niko na weweKwako wewe sijiweziiiiiiii [emoji847][emoji847][emoji847]
Kama nakuona unakula kitimoto na beer mitaa ya kati we mzee
Hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hata kama hayupo jf atasoma kama guest
Babe nipe mimi tu vilivyo uvunguni [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
Mwenzio kwenye mapezi nimeshahenyeka
Kwako wewe sijiweziiiiiiii [emoji847][emoji847][emoji847]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hahahaha, Shunie wangu ni wewe tu, yaani mpk nakufa Mimi na wewe,najua hunitaki ila mie ndio nishafika kwako
MTC | 101| [emoji769]
Mpandishwa vyeo naona ndio unaibukaKwema kaka ake pole na majukumu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aah acha nitulie kusikiliza mistari , mie wewe hata ukizeeka niko na wewe
Milimani lzm niende
MTC | 101| [emoji769]
Nilikuona jumapiliHahahaha, karibu sana ,Shunie wangu
MTC | 101| [emoji769]
Japo nizikwe na ww [emoji8][emoji8][emoji8]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha
Mbavu zangu jamani
Jamanii jamanii [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wacha weeee
MTC | 101| [emoji769]
Mbavu zangu mie [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hata mie baby,sijiwezi kabisaaa
MTC | 101| [emoji769]
Bana wee Mungu huyu, ila JF hkn anayenipenda, ila upo ninayekupenda ambae ni wewe Shunie, na yupo asiyenipenda ambaye ni wewe huyo huyo Shunie[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wewe mzee si kuna wanaokupenda humu jf inakuwaje kwangu tu ambaye sikutaki
Mie hata ukiwa kikongwe sikuachi ng'oo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nizeeke mara ngapi zaidi ya hapa