Poa mamito
Sitaki ndiwoooKwahiyo hutaki
HayaBabe nipe mm tu vilivyo uvunguni
AiseeeNifikishe mpaka juu mawinguni
Kwa nn hutaki na wakati we mzee jamaniSitaki ndiwooo
Nakumiss mimi
Hahaha hahaha hahahaKwa nn hutaki na wakati we mzee jamani
Haya
Baridi imetaradadi






Nani huyo etiKwako wewe sijiwezi nakupendaga wewe tu![]()
Poleeeee
Halafu ukigeuka huku na huku unakutana na mito lazima udate uongee peke yako