Nigendako
JF-Expert Member
- Dec 1, 2017
- 23,296
- 122,440
Au umevuta jani lako baba wawili



utajua tu leoOna tunavyokuja kumpa saport ankoo wetu
Au umevuta jani lako baba wawili



utajua tu leo
Mna kichaa eenhHahah leo hatutoki hapa dada ake,hadi ankoo kieleweke







Ujue niko na mood flani najihisi nipo ulimwengu wa peke yangu baba wawili.Woiiiiiih![]()


















Polee, hukufa?? maaana mm yaliniua kabisaMwenzio kwenye mapenzi nishahenyeka








Wewe shunie!!sema kweli??hii dunia halaf uwe mwenyew lazma ujfeel raha sanaUjue niko na mood flani najihisi nipo ulimwengu wa peke yangu baba wawili.![]()







Sasa mkuu mbona bado upo hai




Hujaniona tu, tena sio mguuni tu ninakamba hadi kiunoniHapa hapa mgeni,,mbona hauna kamba mguuni kama mgeni kweli
Heh



Hugo mzee kiboko kwa kweli
Anakata tamaa halafu baada ya siku mbili tatu anasahau anaanza upya
Tatizo lake anko nalijua mm tunaweza kukomaa halafu yeye akakata tamaa tubaki kushangaa mataa hapoHahah leo hatutoki hapa dada ake,hadi ankoo kieleweke

