Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,977
Mguu wa nani tena baba wawili halafu nywele za darling ndio zipi tena jamaniiHapa nasubiri baada ya nywele za darling,nasubiri mguu![]()
Mguu wa nani tena baba wawili halafu nywele za darling ndio zipi tena jamaniiHapa nasubiri baada ya nywele za darling,nasubiri mguu![]()
Asante dada ake,pole na wwKwema kaka ake pole na majukumu
Nacheka mm na huwa haukomi kweli we mzee

Sawa sawa kibonge mwenye wepesi wakeKama koloni sina
Acha tufunge huo mjadala

Na akichoka kapata eenh na asipopata inakuwaje eti we mzeeHahahaha, nakomaje sasa na mie ndio nishapenda kwako
Na sie wahenga tuna sema 'atafutaye hachoki '
MTC | 101|![]()
Kwema ankoooSawa mie nakusikiza wewe ,kwako sina ujanja
MTC | 101|![]()
Na akichoka kapata eenh na asipopata inakuwaje eti we mzee

HahhahhahSawa mie nakusikiza wewe ,kwako sina ujanja
MTC | 101|![]()
Kwema kabisa Anko, tunachangamsha kijiwe kdg ,muda uendeKwema ankooo

Kweli ankoo,inapendeza kusikia hivyoKwema kabisa Anko, tunachangamsha kijiwe kdg ,muda uende
MTC | 101|![]()
Hahahaha, Shunie wangu ni wewe tu, yaani mpk nakufa Mimi na wewe,najua hunitaki ila mie ndio nishafika kwako
MTC | 101|![]()







