Makapuku Forum

Makapuku Forum

Somalia imeiuzia China haki ya kuvua samaki katika bahari yake. Rais Mohammed Abdullahi Farmajo amezipa kampuni 150 za China leseni ya kuvua samaki aina ya Tuna katika bahari ya taifa hilo kinyume na matarajio ya maelfu ya wavuvi wanaohofu hatua hii itaathiri uwezo wao wa kujitafutia riziki.
View attachment 968012
Watawala km kawaida yao
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom