Makapuku Forum

Makapuku Forum

Somalia imeiuzia China haki ya kuvua samaki katika bahari yake. Rais Mohammed Abdullahi Farmajo amezipa kampuni 150 za China leseni ya kuvua samaki aina ya Tuna katika bahari ya taifa hilo kinyume na matarajio ya maelfu ya wavuvi wanaohofu hatua hii itaathiri uwezo wao wa kujitafutia riziki.
View attachment 968012
Watawala km kawaida yao
 
Hakuna mtu mwenye tabu huku ulimwenguni kama mwafrika, lakini pamoja na tabu zote anazopitia maishani akifa hapumziki, anatakiwa tena awe mzimu wa kutatua matatizo ya ukoo wake.

Afrika tabu sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Jana usiku kuna Jirani yangu..kanitumia text "mambo vipi?"…halafu tunakaa nae mtaa mmoja nikaona nikimjibu ni uharibifu wa hela nikaenda kumgongea mlango saa 7 usiku. Alipofungua nikamjibu "shwari"halafu nikarudi nyumbani kulala zangu.. Sipendagi kuchezea salio..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom