Makapuku Forum

Makapuku Forum

UFAFANUZI: Kama jamii Ya Paka zilivyo, Duma Hawezi kushambulia bila kuvizia, Hivyo Huvizia ndipo Huanza kushambulia...mara nyingi Huwa anachukua Sekunde 10 mpaka 20 kumaliza zaidi ya hapo Huwa ni changamoto.
-
Pia changamoto nyingine ni kuwa Duma ni mzaifu, Akikamata Msosi inambidi ale mapema sababu kuna Wanyama wengine kama Simba na Fisi Jamaa akikamata msosi wao wanakuja kuchukua so mara nyingi huporwa Chakula.
Screenshot_20181214-131748.jpeg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom