Oi oi oi ,amkeni nyie makapuku muda huu 04 :03
Je wajua inakujia na shunie shunie shangaziiiiiiii
Tushaaaaamkaaaaaaaaaaaaa








hapoo sawaa na mm nilianzaa kukosaa iman na mwl wangu wa primary
Hahhahaha jiwe bwana View attachment 968484
"Hata mimi tangu nasoma shule hadi leo nafahamu kuwa Bendera ya Taifa ina rangi ya njano, na sio rangi ya dhahabu. Rangi hiyo ya njano inawakilisha madini yote. Nimeamua kufuta barua ya Wizara ya Elimu, na kama kuna mabadiliko, yafanyike kuzingatia taratibu zote, kwa kuwa jambo hili ni la kitaifa na sio la mtu mmoja."- Rais Dkt Magufuli
Mshambulizi wa klabu ya Liverpool ya Uingereza na Misri Mohammed Salah ndiye mshindi wa tuzo ya mwanakandanda bora wa BBC mwaka huu AFOTY2018.
Bingwa huyo wa tuzo ya mwaka uliopita alipigiwa kura na mashabiki wake kote barani Afrika na kuweka rekodi ya kuwa mchezaji wa kwanza kushinda tuzo hili mara mbili tangu mwaka wa 2004 Jay Jay Okocha alipotetea taji lake.
View attachment 968487