Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Hahahahahahaha sawa waziriii
WAZIRI wa Fedha na Mipango Dk. Philip Mpango amesema nchi inapita kwenye kipindi kigumu kidogo kutokana na wafadhili kupunguza kutoa misaada. Kufuatia hali hiyo, amewataka wanaokusanya mapato kuhakikisha wanasimamia kwa nguvu zote zoezi hilo.
Chanzo: NipasheView attachment 968488



