Makapuku Forum

Makapuku Forum

Papa Francis amewashusha vyeo makadinali 2 wanaokabiliwa na tuhuma za dhuluma za kimapenzi dhidi yao.
Kadinali George Pell kutoka Australia na kadinali Francisco Javier Errazuriz wa Chile hawataendelea kuhudumu kwenye baraza la makadinali linalomshauri papa Francis.
Screenshot_20181214-140404.jpeg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom