Nigendako
JF-Expert Member
- Dec 1, 2017
- 23,296
- 122,440
Ha ha ha ha,,kama alishindwa kujinyonga kwa binamu iwe kwa mjomba kingimswatEiiish ajinyonge kwa kipi haswa yaan mtu mmekutana ukubwani halafu ajinyonge hakunaga hiyo
Ha ha ha ha,,kama alishindwa kujinyonga kwa binamu iwe kwa mjomba kingimswatEiiish ajinyonge kwa kipi haswa yaan mtu mmekutana ukubwani halafu ajinyonge hakunaga hiyo
Ha ha ha ha,,kama alishindwa kujinyonga kwa binamu iwe kwa mjomba kingimswat
Mgumu kama nnAnakutakaaa jaman na ww mgumuu
Hahahah mniwacheee mnataka niwe mlainiii eeenhMgumu kama nn
Halafu anafanya yote haya mbele ya macho ya jiwe! Ikifika 2020 hatumtaki tena jiwe walahi!Kwenye ubora wakeeee



Na ww unataka kumfanyia teuzi jiweNa wew lainikaaa jamann mtoto wa mwanamke mwenzioo
Halafu anafanya yote haya mbele ya macho ya jiwe! Ikifika 2020 hatumtaki tena jiwe walahi!![]()
Wanaume wa mikoani nawasalimia mm huku nimewapigia magotiWamikoani![]()
Mkuu, niaje mzee baba
Mkuu jiwe, habari za mchanaNisikilize mm hakuna wa kukutisha prince
Mkuu mambo mazuri hayataki haraka, imesemwa na wahenga "Haraka haina baraka" lisilo wezekana leo litawezekana kesho. tulia shunieSijakuelewa yaan najaribu kukuelewa nashindwa
Mkuu jiwe, habari za mchana
SawaMkuu mambo mazuri hayataki haraka, imesemwa na wahenga "Haraka haina baraka" lisilo wezekana leo litawezekana kesho. tulia shunie
Poa moud za ww
Njema, habari za kwenu
Hahahahahah nimecheka aiseee haya mambo sio tanzania peke yakeView attachment 967982
Aseeee,Kumbe longolongo za kisiasa barani Afrika ni za kurithi toka enzi za mababu
