Madame S
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 17,177
- 34,444
yeah mko wawili na yeye anajua ana assistant sasa mwenye kisu kikali ndio alae nyama
yeah mko wawili na yeye anajua ana assistant sasa mwenye kisu kikali ndio alae nyama
ila nilichompendea madam alikubali uteuzi hadi pale nilipotibua mipango yote!



Heh,,kumbe nataka kufanywa mpango wa kando
Ngoja niongeze juhud,naweza kula nyama hv hv aiseyeah mko wawili na yeye anajua ana assistant sasa mwenye kisu kikali ndio alae nyama
Nataka madame,,ukipenda hauoniWe hutaki??
ila nilichompendea madam alikubali uteuzi hadi pale nilipotibua mipango yote!
Jiwe ni hatari sana!




Njema mkuu shunie, habari za usikuSafi moud za ww
Sawa“Mwacha mila ni mtumwa “Sherehe 3 za kitamaduni za jamii ya Maasai zimejumuishwa kwenye orodha ya 2018 ya tamaduni zinazostahili kulindwa zisiangamie.
Sherehe hizo za tohara Enkipaata, Eunoto na Olng'esherr, ni nguzo za jamii ya kiMaasai inayopatikana Kenya na Tanzania.View attachment 951436
SawaNo body can stop REGGAE Wapenzi wa muziki wa Reggae mpo ?
Reggae imewekwa katika orodha ya kumbu kumbu ya utamaduni ambao unastahili kutunzwa kwa mujibu wa shirika la Umoja wa Mataifa.
Muziki huo ambao chimbuko lake ni Jamaica ulianza miaka ya 1960 kutokana na juhudi ya wasanii kama vile Toots na the Maytals, Peter Tosh na Bob Marley, umeongezwa katika orodha hiyo kutokana "urithi wa utamaduni usioonekana".View attachment 951439