Nigendako
JF-Expert Member
- Dec 1, 2017
- 23,296
- 122,440
NmekubaliKwahiyo unakubali baba wawili
NmekubaliKwahiyo unakubali baba wawili
Sasa hivi kamuacha ndio mana huyo baba wawili haonekani humu sema ndio dada yako hajui kuachika





daily ananimbia unasalimiwa na shemej yako,,naona ajabu kuniambia kaachwa,,ngoka akija nimuulize vzrAnaongea na Lyon lee
HahahahaHahahaha
Shukran sana,,pole pia.
Sema huu uteuzi naufurahia tu,,ila siku jiwe akibadrika kupigwa chini ni kugusa
HahhahahahHahahaha
Shukran sana,,pole pia.
Sema huu uteuzi naufurahia tu,,ila siku jiwe akibadrika kupigwa chini ni kugusa
HahahahhahaNmekubali
Ha ha ha haHahahaha
Mkuu mie sijui hayo,kwa sasa ni msomaji tu hapa
ijumaa ya Leo mapema niko kwa mangi
Hakubali kuachika ukiachika achika huo msemo umempitia kandodaily ananimbia unasalimiwa na shemej yako,,naona ajabu kuniambia kaachwa,,ngoka akija nimuulize vzr
Sasa hayo ni majibu mary yupo na lyon
Safi habari yako
Mambo ya utani usichukulie serious woiii huku tunakuja kupunguza stress za vyuma kukaza tucheke tufurahi maisha yenyewe mafupi unaweza hata kuninunia kwa mambo ya utani uwe na mchana mwemaHahahaha
Mkuu mie sijui hayo,kwa sasa ni msomaji tu hapa
ijumaa ya Leo mapema niko kwa mangi
Asante mkuu wangu ubarikiweSwalama kabisa hakika wewe Ni Moja kati ya warembo ambao nawafagilia humu jf![]()
Hajampiga chini anko Obe bali ni jiwe alitengua uteuzi na kufanya teuzi mpya!
Hahahaha shangaz utakuwa umefanya uteuzi na huu pia?Hakubali kuachika ukiachika achika huo msemo umempitia kando
Heh!!Hajampiga chini anko Obe bali ni jiwe alitengua uteuzi na kufanya teuzi mpya!

Nilijitahidi sana sema ndg yako ndio haachikiHahahaha shangaz utakuwa umefanya uteuzi na huu pia?
HahahhahahHeh!!
Hizi teuzi za jiwe na wasiwasi nazo sana,,tazama kama hii teuzi iliyofanywa jana,,toka nmeteuliwa nipo nipo tu,,hyo ofisi yenyew sijakabiziwa nipo kama wazir kimvul![]()